Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Monday, September 16, 2024

HATIMAYE MOTO UMEZIMWA MILIMA YA ULUGURU


 

Muda huu saa 5 usiku niko eneo la Bigwa chini ya Milima ya Uluguru hatimaye Moto umezimwa kwenye Milima hiyo kama picha iliyopigwa sasa hivi inavyoonyeshe hakuna hata chembe ya moto Wala Moshi.

 

Pongezi za thati kwa Maafande wa Jeshi la Zima Moto na Uokoaji Mkoa wa Morogoro kwa kazi kubwa walioifanya.

 

Zinazong'ara hapo chini ni taa za majengo yaliyopo chini ya Milima.hiyo.

 

Picha na Dunstan Shekidele Morogoro.

No comments:

Post a Comment

LIGI YA MABIGWA BARA LA ULAYA.ARSENAL AMFANYIA KITU MBAYA BINGWA MTETEZI

              Na Dustan Shekidele. WASHIKA Bunduki wa Jiji la Maraha la London nchini England Arsenal   usiku wa leo imeishangaza duni...