Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Monday, August 26, 2024

PICHA KALI YA KUFUNGUA WIKI


 

KUMBUKIZI.

Wazee wa Mji Kasoro Bahari[Morogoro] Tajiri Aziz Abood ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini,alinaswa na Kamera za Mtandao huu akiteta jambo na aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini ’I.G.P’ Mstaafu Alhaj Omar Idd Mahita [aliyeketi].

  Picha na Dunstan Shekidele,Morogoro

No comments:

Post a Comment

SIMBA KUTINGA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO MLEMAVU AMTOA MACHOZI SHABIKI WA YANGA

  .        Na Dustan Shekidele,Morogoro.  UKISTAAJABU ya Mussa hutoyaona Filahuni.     Baada ya Simba kutinga Nusu fainali michuano ya K...