Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Wednesday, July 24, 2024

JEZI MYA YA SIMBU NI UBAYA UBWELA INAWEZA KUMTISHA MTU AGOST 8




 

JEZI Mpya ya Simba iliyozinduliwa jana ndani ya Hifadhi ya Wanyama ya Mikumi Morogoro ikishuhudiwa na mkuu wa mbuga hiyo Mnyama Simba ni Ubaya Ubwela.

Agost 8 Mtu naweza kushangaa ubora wa jezi hizo na kujikuta  linachezea kichapo cha Mbwa Mwizi.

Ukali wa Uzi huo unaweza kumvisha Mshenga akaenda Ukweli kupeleka barua ya posa na kujikuta akazwadi mke Free Mandela. Waluguru wanasema Ubaya Ubwela, wakiwa na Maana Ubaya umeludi.

Je hiyo Agost 8  ubaya utaludi au kirefu kifungashio cha 5 G kitaendelea na kukata ngebe hizo za Ubaya Ubwela tusubiri tuone?

No comments:

Post a Comment

MAJAJI 2 WAHUDHURIA IBADA YA KUMUOMBEA KIGOGO WA SUA MAREHEMU DKT MBILU.

         Mchungaji Dkt Rhoda Chamshama akiongoza ibada hiyo Katibu Mkuu wa  KKKT Usharika wa Mji Mpya Mshana akimuaga Mzee wake wa kanisa S...