Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, April 27, 2024

MBUNGE AMTAJA HAYATI MICHAEL JACKSONI KWA WAANDISHI WA HABARI


 

MBUNGE wa Jimbo la Mikumi Mkoani Morogoro ambaye pia ni Mwenyekiti Kamati ya Kudumu ya Bunge ]TAMISEMI] Mhe Denis Londo.

 Akizungumza kwenye Mkutano Mkuu Maalumu wa Wanachama wa Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Morogoro, uliofanyika Leo Ukumbi wa  JKT Bwalo la Umwema, amemtaja Mwanamuziki nguli duniani Hayati Michael Jackson.

Kwa nini amemtaja mwanamuziki huyo endelea kuwa jirani na Mtandao huu muda wote

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...