Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Tuesday, January 23, 2024

RAS WA KUKU WA NDOO ANDAA MICHUANO YA NDONDO CUP.






 


MKALI wa kuza kuku wa ndoa Mkoani Morogoro Mohamed Chuli. Maarufu Rasta Msafi, amendaa michuano ya Ndondo Cup.
 
Akihojiwa jana na Mwandishi wa habari hizi kwenye uzinduzi wa michuano hiyo inayofanyika Uwanja wa Saba saba Manispaa ya Morogoro, Babu Chuli amefunguka mazito habari na picha kali za michuano hiyo zitaruka hewani hivi punde hivyo endelea kuwa jirani na Mtandao huu muda wote.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...