Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, December 2, 2023

MBONA SIKUFA MIMI TOKEA MIMBANI?

Mtumishi wa Mungu Dustan Shekidele akipiga goti  KKKT Usharika wa Kihonda Morogoro
 


AYUBU 3.10-13

“Kwa Sababu haukuifunga Milango ya Tumbo la Mamangu,Wala hukunifichia taabu Machoni.

 Mbona sikufa mimi tokea Mimbani?

Mbona nisitoe roho hapo nilipotoka tumboni?

Mbona hayo Magoti kunipokea? Au hayo Maziwa hata nikanyonye?

Maana hapo ningelala na kutulia,Ningelala usingizi na kupata kupunzika.

”For now Should l have lain still and been quiet,l should  have slept then had l been at rest” Ujumbe wetu wa leo Jumapili ya  Desember 3

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...