Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Thursday, March 23, 2023

WAKALI WA NYWELE MORO



 

 KUMBUKIZI.

Mwanaume Nywele Bhana uweke Upara umefiwa?

 

Wakali wa Nywele Mkoani Morogoro Ras Richie ambaye ni Mpiga debe maarufu Stend ya Mabasi Msamvu akiwa na rasta zake zenye umri wa takribani miaka 10.

Kulia ni Msanii chipukizi wa sinema za kibongo kutoka Pande za Mji Mpya Manispaa ya Morogoro akiwa na style yake ya Nywele.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...