Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Tuesday, March 28, 2023

TANZIA. KIGOGO WA SHINDANO LA MISS MOROGORO AFARIKI DUNIA JIONI YA LEO.


Marehemu Cool Guy enzi za Uhai wake
Pyana [kati] waliosimama akiwa na Mwanaye kwenye mapokezi ya Simba mwaka 2017 walipofanikiwa kutwaa Ubingwa wa Tanzania;  

 

Picha hii ilipigwa na Mwandishi wa Mtandao huu kwenye moja ya hotel iliyopo Masika Manispaa ya Morogoro, ambapo Simba walifikia kwenye hotel hiyo walipotoka Dodoma kureja Dar es salaam.


 

TANZIA

Kigogo wa Mashindano ya Miss Morogoro na Miss Kanda ya Mashariki Masoud Mohamed Mulenga Almaarufu Cool Guy amefariki dunia jioni ya leo kwenye hospital ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma.

 

 Taarifa za kifo hicho zilizoumiza Mioyo ya wana Morogoro zimetolewa na Mdau Mkuwa wa burudani Mkoa wa Morogoro Pyana Mwandembwa ambaye pia alikuwa  mmoja wa Vigogo wa ngzi za juu wa timu ya ligi kuu ya Moro United. ‘Chelsea Bongo’

 

 lfahamike pia Hayati Mulenga alikuwa  Mdau Mkubwa wa Mtandao Pendwa wa Shekidele.

 

 “Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe”

 

Tangulia kamanda Tutaonana Badaye.                         

 

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...