Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, March 26, 2023

ASKARI NA WAANDISHI WATAJWA KWENYE MANENO LA MUNGU.


Mwandishi wa habari Dustan Shekidele[kushoto] akiwa na Askari R.P.C Fortunatus Muslim wakiteta jambo.
Waandishi na Askari wametajwa kwenye neno hilo la Mungu hapo

 


 
LUKA.23 8-12
 
”Na Herode alipomwona Yesu,akafurahi sana kwa sababu alikuwa akitaka sana kumwona toka siku nyingi,maana amesikia habari zake,akataraji kuona ishara iliyofanywa nay eye. 
 
Akamuliza maneno mengi,yeye asimjibu lolote. Wakuu wa makuhani na Waandishi wakasimama wakamshitaki kwa nguvu sana. 
 
Basi Herode akamfanya duni,pamoja na askari wake akamdhihaki na kumvika mavazi mazuri kisha wakamrudisha kwa Pilato.
 
Basi siku ile ile Herode na Pilato walipatana kwa urafiki kwa maana hapo kwanza walikuwa na uadui wao kwa wao.”
 
Hilo ndilo neno letu la leo jumapili ya March 26
 
 
 

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...