Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Friday, October 14, 2022

MR PAPARAZI.


 


Waandishi wa habari Mkoa wa Morogoro kutoka kulia ni Malima ambaye pia ni Mwanajeshi wa Jeshi la Wananchi Tanzania’JWTZ’ wa Kati ni Warioba  na kushoto ni Shekidele wakiwa nyuma ya gori Uwanja wa Jamhuri Morogoro na makamera yao wakisubiri kupiga Picha ya bao kwenye moja ya michezo ya ligi Kuu Tanzania bara..

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...