Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, August 20, 2022

MKUU WA MKOA WA MOROGORO LEO AMESHIRIKI MARATHON



                                                   Mkuu wa Mkoa wa Morogoro


                                     Mfamasia maarufu Morogoro akishiriki mbio hizo


 

 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro  Mh Fatma Mwasa leo asubuhi ameshiriki mbio za  Solous Marathon, habari kamili na picha zaidi za tukio hilo zitaruka hewani hivi punde hivyo endelea kuwa jirani na Mtndao huu muda wote.

No comments:

Post a Comment

VITUKO VYA MWEZI JANUARI

  Mwezi uliopita tumeshehelekea Siku Kuu mbili X Mas na Mwaka Mpya.   Mwezi huu dume January tunashehelekea kulipa Ada za Shule na kod...