Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Monday, August 1, 2022

LOLOTE LITAKALO NI FIKA NITAMTEGEMEMA MUNGU


 

“Lolote litakalo nifika liwe baya  ama zuri  nitapiga goti nikimtumaini Bwana, kamwe sita nung’unika  nikavuka mipaka ya kukufuru.

 

Zaidi nitamuomba Mungu aongeze kiwango changu cha lmani juu yake, kwani  natambua kwenye safari ya Maisha hapa chini ya jua kuna nyakati za furaha na nyakati za hudhuni”

No comments:

Post a Comment

MAKALA PLANET NDONDO CUP. SIRI DAMU CHAFU KUTWAA UBINGWA MARA MBILI MFURULIZO HII HAPA.

  Baadhi ya mashabiki waliofulika kwenye mashishindano hayo.                           .....Kikosi cha Damu chafu Mkuu wa Wilaya Mhe Kilakal...