Monday, July 11, 2022
HATIMAYE TUMEMPUNZISHA MTANGAZAJI WA SUA TV KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE
INAUMA SANA
Mtoto pekee wa Marehema Catherine Ogesa.Michael Edward akisaidiwa kuweka shada la Maua kwenye kaburi la Mpendwa Mama yake.
Marehema Cathe amepunzishwa leo saa 11 jion kwenye nyumba yake ya Milele nyumbani Kwao Kahama Mkoani Shinyanga.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MUNGU ANASEMA WATU WABAYA NI KAMA BAHARI ILIYOCHAFUTA,HUTOA TOPE NA TAKATAKA.
Dustan Shekidele akifanya mahojiano na Watumishi wa Mungu Askofu Jacob Ole Mameo wa KKKT Jimbo la Morogoro. ......Shekidele akiungana kwen...

-
Mwandishi wa Mtandao akiwa juu ya Mlima Uluguru Mgeta Wilaya ya Mvomero Mwandishi wa Mtandao huu akiwa juu ya Milima hiyo ya Uluguru ak...
-
Mwili wa Mpendwa wetu Victor Mswaki ikiwasii nyumbani kwa Bigwa Groly akiangua kilio baada ya kushuhudia jeneza lililobeba mwili wa kaka yak...
-
Baadhi ya makaburi ya nduigu zetu Wahindi yakiwandani ya fensi kando kando ya barabara ya Forest Mafuta ya Mtume Mwamposa yakiwa kw...
No comments:
Post a Comment