Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Monday, July 11, 2022

HATIMAYE TUMEMPUNZISHA MTANGAZAJI WA SUA TV KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE


 INAUMA SANA
Mtoto pekee wa Marehema Catherine Ogesa.Michael Edward akisaidiwa kuweka shada la Maua kwenye kaburi la Mpendwa Mama yake.
Marehema Cathe amepunzishwa leo saa 11 jion kwenye nyumba yake ya Milele nyumbani Kwao Kahama Mkoani Shinyanga.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...