Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, March 27, 2022

UJUMBE WA NENO LA MUNGU LEO JUMAPILI


 

DANIEL 12

 

Mstari 8-10

 

Nami nikasikia lakini Sikuelewa, ndipo nikasema Ee Bwana Mungu,Mwisho wa Mambo haya Utakuwaje.?

 

Akasema enenda zako Daniel, maana maneno haya yamefungwa na kutiwa Muhuri,hata wakati wa Mwisho.

 

Wengi watajitakasa na kujifanya weupe na kusafika,  bali wabaya watatenda mabaya  wala  hataelewa Mtu Mbaya  awaye yote,bali wao walio na hekima ndio watakaoelewa.

 

Hili ndilo neno letu la leo Jumapili ya March 27.

Ambalo linatufundisha kwamba kwenye maisha yetu tusijikweze pia tusimuamini mtu kwa muonekano wa nje au kwa mavazi yake meupe au kwa Cheo chake ama utajiri wake.

Vile vile tusimuhukumu au kumdharau mtu kwa muonekano wake, kwa shida zake au kwa umasikini wake.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...