Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, February 20, 2022

KWELI NIMEAMINI MAMA NI MLEZI WA WOTE.

 Rais Samia Suluhu Hassan Kulia akizungumza na Tundu Lissu

 


 Na Dunstan Shekidele,Morogoro

Rais  Samia Suluhu Hassan ‘Maarufu Mama Samia’ambaye pia ni Mwenyekiti wa taifa wa Chama Cha Mapinduzi’CCM’  February 12 amemtembelea na kumjulia hali Makamu Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzania Tanzania Chedema Mh Tundu Lissu  Jijini Brussels nchini Ubelgiji.

Kwa  miaka kadhaa sasa Mh Lissu  yuko nchini Ubelgiji alikokwenda kupatiwa matibabu baada ya kupigwa Risasi nyingi mwili na watu wasiojulikani wakati akitoka Bungeni Dodoma akirejea nyumbani kwake. 

 

Kwa siku kadhaa Mama Samia alikuwa kwenye Ziara ya kikazi barani Ulaya, hivyo alitumia fursa hiyo kukutana na watanzania wanaoishi kwenye nchini alizotembelea akiwemo Mh Lissu.

Nani Kama Mama?

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...