Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, October 2, 2021

UJUMBE WA NENO LA MUNGU LEO JUMAPILI

Niko na na Jeshi kubwa Mkoa wa Morogoro, aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro’RPC’ Leonard Poul[Kulia] anayeongea na Simu ya Upepo Radio Call’.
 

2MAMBO YA NYAKATI 20-15

”Akasema Sikieni Yuda wote,nanyi mkaao Yerusalemu,na wewe mfalme Yehoshafati, Bwana awaambia hivi Msiogombe wala msifadhaike  kwa ajiri ya Jeshi kubwa hili, kwani Vita si yenu bali ni Mungu.”

Hilo ndilo neno letu la Leo Jumapili ya Octobar 3.

             


No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...