Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, September 15, 2024

MACHO YA BWANA YAKO KILA MAHALI.


 


                            MITHALI 15.2-7.

“Jawabu la upole hugeuza hasira, bali neno liumizalo huchochea ghadhabu.

Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa Vizuri, bali vinywa vya wapumbavu humwaga Upumbavu.

Macho ya Bwana yako kila mahali.yakimchunguza mbaya na mwema.

Ulimi safi ni Mti wa Uzima, bali ukorofi wa Ulimi uvunja Moyo.

Mpumbavu hudharau kurudiwa  na babaye, bali yeye aangaliaye maonyo hupata busara.

Katika nyumba ya mwenye haki mnahakiba nyingi,bali mapato ya mtu mbaya huwa taabu tu” Huu ndio ujumbe wetu wa Jumapili ya leo septemba 15. Bwana naatufanyie wepesi kuyafuata mafundisho yake yenye Mwanga katika Maisha yetu.

Panapo Majaliwa ya Mwenyezi Mungu tukutane Jumapili ijayo kwa ujumbe mwingine wa neno la MUNGU.

No comments:

Post a Comment

MUUZA MAGAZETI ADAIWA KUJINYONGA MUDA MFUPI BAADA YA KUTOKA KWENYE KIKAO CHA MAZISHI YA DADA’KE.

                            Pili Sebuge Mama mzazi wa marehemu . ....Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Ngoma B Rehema Matonya ...Miili ya m...