Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, February 17, 2024

MATUKIO M,BALI MBALI MPAMBANO WA TRANSIT CMAP

Waamuzi wakiziongoza timu kuingia uwanja wa Jamhuri Morogoro
                         Kikosi cha Maafande wa Transit Camp
                               Kikosi cha Pamba Jiji
Waamuzi na Kamisaa wa mchezo wakiwa katika picha ya pamoja na Manahodha wa timu zote mbili
                                          ...Papatu papatu uwanjani



          ...Kipa wa Pamba Jiji akipanga safu yake ya ulinzi
'Suoer Star' wa Pamba Jiji Haruna Chadongo akimiliki mpira huku akichungwa na beki wa Transit Camp


Mshambuliaji wa Pamba Jiji akifumua shuti kuelekea lango la Transit Camp



                          Picha zote na Dustan Shekidele Morogoro

No comments:

Post a Comment

MAJAJI 2 WAHUDHURIA IBADA YA KUMUOMBEA KIGOGO WA SUA MAREHEMU DKT MBILU.

         Mchungaji Dkt Rhoda Chamshama akiongoza ibada hiyo Katibu Mkuu wa  KKKT Usharika wa Mji Mpya Mshana akimuaga Mzee wake wa kanisa S...