Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Wednesday, February 8, 2023

MAYELE KUTETEMA JUMAPILI UMANGANI?


 

PICHA KALI YA WIKI.

 Mshambuliaji hatari wa Mabingwa wa kihistoria  Young Africans Sports Club  Mkongo Man Fiston Kalala Mayele akiwa na familia yake.

 

Kwa sasa Mayele yuko nchini Tunisia na timu yake ya Yanga ambapo Jumapili wanaanza ligi ya shirikisho hatua ya Makundi wakiwa ugenini huku Mayele akijiandaa kutetema ‘Umangani’

 

No comments:

Post a Comment

MAJAJI 2 WAHUDHURIA IBADA YA KUMUOMBEA KIGOGO WA SUA MAREHEMU DKT MBILU.

         Mchungaji Dkt Rhoda Chamshama akiongoza ibada hiyo Katibu Mkuu wa  KKKT Usharika wa Mji Mpya Mshana akimuaga Mzee wake wa kanisa S...