Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Sunday, July 3, 2022

BWANA HARUSI AFARIKI DUNIA MUDA MFUPI KABLA YA KUFUNGA NDOA,


 

INAUMA SANA.

Bwana harusi  Ramadhan Rashid Mtakahera ‘Maarufu Tana Best’amefariki ghafra muda mfupi kabla ya kufunga ndoa.

 Shehe Mkuu wa Kata atoa neno juu ya kifo hicho.

 Habari kamili na Picha zaidi za tukio hilo zitaruka hewani hivi punde kwenye Blog Pendwa ya Shekidele. www.shekideletz.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

MAJAJI 2 WAHUDHURIA IBADA YA KUMUOMBEA KIGOGO WA SUA MAREHEMU DKT MBILU.

         Mchungaji Dkt Rhoda Chamshama akiongoza ibada hiyo Katibu Mkuu wa  KKKT Usharika wa Mji Mpya Mshana akimuaga Mzee wake wa kanisa S...