Shekidele Blogs

Shekidele Blogs
Karibuni sana wadau wa blog ya Shekidele kwa mawasiliano zaidi 0715 28 90 73

Saturday, October 2, 2021

UJUMBE WA NENO LA MUNGU LEO JUMAPILI

Niko na na Jeshi kubwa Mkoa wa Morogoro, aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro’RPC’ Leonard Poul[Kulia] anayeongea na Simu ya Upepo Radio Call’.
 

2MAMBO YA NYAKATI 20-15

”Akasema Sikieni Yuda wote,nanyi mkaao Yerusalemu,na wewe mfalme Yehoshafati, Bwana awaambia hivi Msiogombe wala msifadhaike  kwa ajiri ya Jeshi kubwa hili, kwani Vita si yenu bali ni Mungu.”

Hilo ndilo neno letu la Leo Jumapili ya Octobar 3.

             


No comments:

Post a Comment

MAJAJI 2 WAHUDHURIA IBADA YA KUMUOMBEA KIGOGO WA SUA MAREHEMU DKT MBILU.

         Mchungaji Dkt Rhoda Chamshama akiongoza ibada hiyo Katibu Mkuu wa  KKKT Usharika wa Mji Mpya Mshana akimuaga Mzee wake wa kanisa S...