Diwani wa Kata ya Mkundi Mh Seif Chomoka ambaye al;ikuwa mgeni rasmi kwenye fainali ya Michuano ya The Gunners Ndondo Cup iliypigwa jana uwanja wa Saba saba Manispaa ya Morogoro akifuatilia Mtanange huo kati ya Wakushi Fc na Chadongo Fc.
Wakushi aliibuka Bingwa wa Michuano hiyo baada ya kuitandika Chadongo Pelnaty 5-4, dakika 90 za awari timu hizo zilitoka sale ya bao 1-1
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
DAKTARI NA MTANGAZAJI WAFUNGUKA MAZITO MADHARA YA MTOTO MCHANGA KUKATISHWA ZIWA LA MAMA.
Somo Farha Abraham akiwa studio za Planet Fm. Daktari Sadick Juma akizungumza na Mwandishi wa habari hizi. Na Dunstan Shekidele,Moro...
-
Hayati Sabrina enzi za uhai wake akiwa na Umri wa miaka 4 hadi mauti inamkuta alikuwa na Umri wa miaka 9. Tumeradhimika kutumia Picha hii ...
-
Noera akiwa ‘Location’ Siku ya Send Off yake ama kwa hakika alipendeza haswaa. Picha no Muonekani wa Gari lake mara baada ya ajari ene...
-
Mwili wa Mpendwa wetu Sabrina ukiswaliwa kabla ya kuelekea makabulini kupunzishwa kwenye nyumba yake ya Milele ....Wanafunzi wenzie wa ali...
No comments:
Post a Comment