Diwani wa Kata ya Mkundi Mh Seif Chomoka ambaye al;ikuwa mgeni rasmi kwenye fainali ya Michuano ya The Gunners Ndondo Cup iliypigwa jana uwanja wa Saba saba Manispaa ya Morogoro akifuatilia Mtanange huo kati ya Wakushi Fc na Chadongo Fc.
Wakushi aliibuka Bingwa wa Michuano hiyo baada ya kuitandika Chadongo Pelnaty 5-4, dakika 90 za awari timu hizo zilitoka sale ya bao 1-1
Saturday, August 14, 2021
DIWANI AMTAJA SAMATA KWENYE FAINALI ZA NDONDO CUP
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KILA LENYE KHERI MWANA MOROGORO KARIM MANDONGA.
Na Dustan Shekidele Morogoro, MWANA Morogoro Bondia Karim Mandonga a.k.a ‘Mandonga Mtu kazi’ Mkazi wa Kata ya Mkundi Manispaa ...

-
Mwandishi wa Mtandao akiwa juu ya Mlima Uluguru Mgeta Wilaya ya Mvomero Mwandishi wa Mtandao huu akiwa juu ya Milima hiyo ya Uluguru ak...
-
Morgoro Mji kasoro Bahari. ndiyo kauli ya Waluguru wa Mkoa wa Morogoro. Hii sio Meli na wala sio Uwanja wa Ndege 'Air Port' ni st...
-
Mwili wa Mpendwa wetu Victor Mswaki ikiwasii nyumbani kwa Bigwa Groly akiangua kilio baada ya kushuhudia jeneza lililobeba mwili wa kaka yak...
No comments:
Post a Comment