Tuesday, June 25, 2024

WANAENDELEA KUWA WANYAMA AKIWEMO MKANDAJI.KIBU D




 

 

Hadi kufika leo wachezaji hawa akiwemo mwana Morogoro Mzamiru Yassin na Mkandaji wa makutano ya Mitaa ya Twiga na Jangwani Kariakoo Dar.

Kibu Denis ‘Kibu D’ndio waliofanikiwa kutoboa na kusaini mikataba mipya ya kusalia unyamani.

No comments:

Post a Comment