HABARI ZA KIJAMII, SIASA,MICHEZO BURUDANI HADITHI NA MAKALA
▼
Sunday, January 28, 2024
UTALII WA NDANI.
Mwandishi wa
Mtandao huu akiwa mitaa ya jiji la Arusha eneo la Kaloleni alipotembelea Jumba
la Makumbusho ya Azimio la Arusha na kujionea vitu mbali mbali kwenye Jumba
hilo lenye histori kubwa ya nchini yetu ya Tanzania.
No comments:
Post a Comment