Sunday, January 28, 2024

UTALII WA NDANI.



 


Mwandishi wa Mtandao huu akiwa mitaa ya jiji la Arusha eneo la Kaloleni alipotembelea Jumba la Makumbusho ya Azimio la Arusha na kujionea vitu mbali mbali kwenye Jumba hilo lenye histori kubwa ya nchini yetu ya Tanzania.

No comments:

Post a Comment