Saturday, June 24, 2023

MASTAA SIMBA. YANGA.AZAM WAMENG’ARA KWENYE TAMASHA LA MORO KIDS

Kiungo Ounda wa Simba Mzamiru Yassin[kulia' Winga hatari ya Namungo Shiza Kichuya aliyenyoosha Mikono na beki wa Dodoma Jiji Hassan Kessy anayezungumza na refa mastaa hao wakijianda kupiga mpira wa faulo

 

 


Mastaa hao ni pamoja na Mzamiru Yassin, Shomari Kapombe, Zawadi Mauya, na Shiza Kichuya,

Habari kamili na picha za tukio hilo zitafuka hewani hivi punde hivyo endelea kuwa jirani na Mtandao Pendwa wa Shekidele Muda wote.

No comments:

Post a Comment