Saturday, April 22, 2023

MKUU WA MKOA MORO ANGOZA MAMIA YA WANANCHI KUMUAGA MWANDISHI WA HABARI



 

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro leo Mchana ameongoza Mamia ya wananchi wa mkoa wa Morogoro kumuaga Mtangazaji wa Abood Media Hayati Emmanuel Victor Mdoe. Habari kamili na matukio kibao endelea kuwa jirani na Mtandao huu muda wote.

No comments:

Post a Comment