HABARI ZA KIJAMII, SIASA,MICHEZO BURUDANI HADITHI NA MAKALA
▼
Monday, December 20, 2021
HATIMAYE LUMBESA LA TAKATAKA LAONDOLEWA KATIKATI YA BARABARA
Baada ya Takataka hizo kuondolewa barabarani
Kabla ya takataka hizo kuondolewa barabarani
Hatimaye
lundo la takataka lililotelekezwa barabani limeondolewa baada ya
Mtandao huu kuripoti kero hiyo ya wananchi wa Mtaa wa Makondeko Kata ya
Mwembesongo Manispaa ya Morogoro.
No comments:
Post a Comment