HABARI ZA KIJAMII, SIASA,MICHEZO BURUDANI HADITHI NA MAKALA
▼
Thursday, September 23, 2021
WAZIRI WA TAMISEMI APOZI KWENYE PICHA NA MADIWANI WA MANISPAA YA MORO
DIWANI
Kipenzi cha wana Kata ya Mbuyuni Mh Samwel Msuta'mwenye Miwani
aliyesimama,juzi aliwaongoza madiwani wote wa Kata 29 za Manispaa ya
Morogoro kupiga Picha ya Pamoja na Mawazi.
Waziri
wa TAMISEMI Mh Ummy Mwalimu na Waziri wa Viwanda na Biashara Profesa
Kitila Mkumbo wakiongozwa na mwenyeji wao Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh
Martini Shigella kushoto aliyeketi'
No comments:
Post a Comment